Fiston Mayele Ataja Waliomshawishi Kuja YANGA, Agusia Kuishia Masaki Kwenye Jumba la Kifahari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


"Kisinda na Mukoko ndio walinishawishi nije Yanga, sana Kisinda aliniambia kuna shida ya Straiker Yanga naomba uje akanipa namba ya Eng Hersi mkataba wangu ulipoisha AS Vita nikamtafuta Hersi tukaongea tukasaini Mkataba wa Miaka miwili.

Niliwaambia Viongozi wa Yanga wanitafutie nyumba ambayo itakuwa na sehemu ya Gym, naishi Masaki kila asubuhi nafanya Mazoezi yangu halafu jioni naenda Avic Town kwa ajili ya Mazoezi ya Timu.

Mapokezi yamekuwa Makubwa Watu wananipenda style yangu imekuwa maarufu hadi makanisani, Watanzania wanapenda sana Mpira Upendo wanaonioshesha Yanga unanifanya niendelee kupambana kwa ajili ya Timu hii"-Fiston Mayele.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad