Mama yangu hawezi nipangia mtu wa kuoa-Diamond avunja kimya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mama yangu hawezi nipangia mtu wa kuoa-Diamond avunja kimya

Mkurugenzi mkuu wa lebo ya Muziki Tanzania ya WCB Diamond Platnumz hatimaye amezungumza kuhusu mama yake kumpangia mwanamke wa kuoa.

Uvumi umekuwa ukienea mitandaoni kwamba mama Dangote ndiye amekuwa akimtafutia staa huyo wa bongo mwanamke wa kuoa.

Diamond amekuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na wanawake tofauti huku wakiachana baada ya muda, na kubarikiwa na baby mama watatu.

Akiwa kwenye mahojiano msanii huyo alikana madai hayo,huku akiwataka wanamitandao kumpa mama yake heshima.


 
HUku akizungumzia uvumi huo alisema kwamba hatua ya mama yake kumtafutia mwanake wa kuoa ni jambo la wakati uliopita na wala sio wakati wa sasa.


 
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad