Gigy Money "Mimi siumizwi na MOJ kuoa kwa sababu tulishamalizana muda mrefu sana"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


GIFT STANFORD au Gigy Money ni mwanamama wa Bongo Fleva ambaye anasema kuwa, watu wasichokijua ni sawa na usiku wa giza hivyo waache kuongea mambo wasiyokuwa na uhakika nayo.

Akizungumza na #SHOWBIZ, Gigy anasema kuwa, kumekuwa na maneno mengi baada ya mzazi mwenzie MOJ kuoa, jambo ambalo halimuumizi hata kudogo.

“Mimi siumizwi na mzazi mwenzangu (MOJ) kuoa kwa sababu tulishamalizana muda mrefu sana, isitoshe nipo kwenye uhusiano na mwanaume ninayempenda sana na yeye ananipenda sana, ndiyo maana nasema usichokijua ni kama usiku wa giza,” anasema Gigy ambaye amezaa mtoto wa kike na MOJ.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad