Haji Manara Atoa Mpya "Huo ukimya wa SIMBA kuelekea Mechi Yetu na wao Mnaujua Chanzo chake?"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Maneno ya Haji Manara kuelekea Mechi ya Yanga na Simba:

"Huo ukimya wa Makolo mnaujua chanzo chake?

Hii mechi Yanga ndio Mwenyeji wa mchezo,,na kwa mujibu wa utaratibu,,Team Mwenyeji hupata mzigo wote baada ya yale makato ya kikanuni kwa Taasisi nyingine.

So Kwa akili yao wanaona kukaa kimya kwao na kutosema lolote labda Washabiki wao hawatakuja, wakiamini Mapato ya Jumamosi yatapungua.

Niwahakikishie Yanga tunatosha, tupo wa kumwaga,,tutaujaza Uwanja bila hata kolo mmoja kuwepo.

Sisi tuna watu, na watu wenyewe ndio Wamiliki wa Nchi hiii.

Mkija au mkisusa hizo sio sheeda zetu Wananchi, We Are Yanga Afrikaaaaaaaaaaaaa

Au kama vp njooni na uchawi wenu wa moto watu wasije Lupaso Jumamosi" Manara
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad