AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara amesema alipopewa taarifa kuwa anatakiwa kuwa msemaji wa Klabu ya Yanga, aliogopa kwamba mashabiki wa timu hiyo wanaweza kumpiga.
Anasema sababu kubwa iliyomfanya aogope ni kutokana na jinsi alivyokuwa akiwachachafya mashabiki hao kipindi alipokuwa Simba.
Manara ameyasema hayo wakati akikabidhiwa rasmi kadi ya uanachama wa Yanga leo, April 28, 2022.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK