Haji Manara "Nilivyohamia Yanga Nilijua Mashabiki Watanipigia"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara amesema alipopewa taarifa kuwa anatakiwa kuwa msemaji wa Klabu ya Yanga, aliogopa kwamba mashabiki wa timu hiyo wanaweza kumpiga.

Anasema sababu kubwa iliyomfanya aogope ni kutokana na jinsi alivyokuwa akiwachachafya mashabiki hao kipindi alipokuwa Simba.

Manara ameyasema hayo wakati akikabidhiwa rasmi kadi ya uanachama wa Yanga leo, April 28, 2022.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad