Hamisa Mobetto Ajibu Kuhusu Kufilisika na Kufunga Duka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

  


Msanii na mwanamitindo Hamisa Mobetto amesema hajawahi kuwa tajiri kwenye maisha yake ndio maana anapambana ila sio kama amefilisika baada ya duka lake la Mwananyamala kufungwa.

Hamisa Mobetto ameongeza kusema duka lake limefungwa kwa sababu ya kuhamishiwa sehemu nyingine sio kwamba amefilisika baada ya kulifunga

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad