AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii na mwanamitindo Hamisa Mobetto amesema hajawahi kuwa tajiri kwenye maisha yake ndio maana anapambana ila sio kama amefilisika baada ya duka lake la Mwananyamala kufungwa.
Hamisa Mobetto ameongeza kusema duka lake limefungwa kwa sababu ya kuhamishiwa sehemu nyingine sio kwamba amefilisika baada ya kulifunga
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK