Harmonize Afunguka Tuhuma za Kununua Views Youtube

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




#SNSEnt: Supastaa @harmonize_tz hatimaye amefunguka kufuatia maoni mbalimbali anayoyapata baada ya video mpya ya wimbo wake "Mdomo" wimbo ambao unapatikana kwenye album yake ya 'High School' kufikisha idadi ya watazamaji Milioni 1.3 ndani ya sekunde 34 tu katika mtandao wa youtube.


Harmonize amechomoa madai ya kununua views youtube hasa kwenye video hiyo akisema wengi hawathamini jitahada zake katika muziki. Haya yote yanayotokea, ni nguvu ya mashabiki wake mtaani wanayompatia. Ameeleza kupitia insta story.

"Konde Boy ndio anahela kuliko wasanii wote duniani!" - amehoji Harmonize akiendelea "Hizo kelele tushazizoea". Aidha, ameweka wazi kesho itatoka kolabo yake mpya na msanii wa hapa nchini.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad