Hili Ndilo Kosa Alilofanya Benard Morrison South Africa na Kupigwa Marufuku Kuingia Nchi Hiyo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


“Morrison ana shida zake binafsi na mamlaka ya uhamiaji ya Afrika Kusini na kosa alilofanya aliover stay…yaani muda wake wa kuishi Afrika Kusini uliisha, amefungiwa Kama sikosei ni miaka 5 kuingia Afrika Kusini kutokana na hiyo kesi yake.

“Kama Simba tulijaribu kuingilia kati kuhakikisha ni Kwa namna gani suala hili linamalizika lakini kumekuwa na ugumu kidogo kwa hiyo sisi Kama Simba tumeamua ku-give up na kwa mantiki hiyo Bernard hatakuwa sehemu ya kikosi pindi tutakapoelekea Afrika Kusini kwenye mechi ya marudiano,” Meneja Habari na Mawasiliano wa @simbasctanzania @ahmedally_
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad