Huyu Ndio Bondia Kanyaboya Kutoka Burudi Aliyeleta Msemo wa Kanya Boya Tanzania Kutokana na Vitendo vyake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kanya Boya ni bondia wa ngumi za kulipwa kutoka Burundi. Bondia huyu Felix Kanyaboya kati ya Miaka ya 1986 / 1987 alikuja kucheza Tanzania , Alikuwa anafikia Hotel za
Kariakoo.

Bondia huyu alikuwa na Mikwara mingi saana na siku ya Mechi anatoka Hotelini Kariakoo anatembea kwa Miguu akiwa kavalia kabisa Gloves , ring bout, Gum shield, anapiga shadow box njia nzima na watu wanamshangilia mpaka Railways Club Gerezani. Akipanda Ulingoni Round zake 2 tu kapigwa KO mbaya na akina Habibu Kinyogoli, na Omary Yazidu. Ndipo Jina lake likavuma kama *KANYABOYA* NI KUMBUKUMBU TU Kutoka Maktaba.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad