Kauli ya Haji Manara baada ya kuongeza mke wa pili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Msemaji wa Klabu ya Yanga Haji Manara ameweka wazi kwamba haikuwa kazi rahisi kuoa tena mke wa pili lakini anamshukuru Mungu kwa kufanikisha jambo hilo.

"Haikuwa Rahisi lakini kila jambo lina utaratibu wake vile Muumba wetu alivyolijaalia. Thanks Baba na Mama yangu kwa baraka zenu kwetu, karibu Mke wangu Rubynah Binti Salum kwenye familia yetu". ameandika Haji Manara

Taarifa za Manara kuoa mke wa pili zimetoka jana usiku baada ya kushea picha kwenye page yake ya Instagram huku baadhi ya mastaa wa kike kama Hamisa Mobetto, Zamaradi Mketema, Batuli Actress na Esha Buheti wakihudhuria harusi hiyo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad