AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema ni wakati wa Serikali kuchukua hatua dhidi ya watu waliokutwa wameenda kinyume na maadili katika Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
Amesema, "CAG hazushi, anafanya kazi zake kitaaluma. Katika Ripoti zake anaeleza kasoro nyingi na mambo yasiyofaa ambayo yamefanyika ikiwemo upotevu wa Fedha za Umma na matumizi mabaya"
Amesema Vyombo husika vya Serikali vina wajibu wa kuchukua hatua ili Fedha za Wananchi zisichezewe
#JamiiForums
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK