Kisa Dini, Zuchu Akataa Dili la Milioni 250 Kutoka Kampuni ya Pombe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kwa mujibu wa mtandao wa #AfricaFactZone unamtaja mwanamuziki kutoka WcB Wasafi @officialzuchu kukataa deal la dollars $108K' ambazo ni sawa na Million 250,912,675.08/= za kitanzania kutoka kwenye kampuni ya utengenezani wa vinjwaji venye vilevi (pombe).


Wanaeleza kuwa mama yake mzazi Bi.Hadija Kopa alisha muonya mapema kuhusu kutangaza bidhaa za namna hiyo/ za vilevi.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad