AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Klabu ya soka ya Wydad Casablanca imepeleka malalamiko yake FIFA kwenye idara ya usuluhishi juu ya mchezaji wao raia wa Tanzania Simon Msuva kukiuka vigezo na masharti vilivyopo kwenye mkataba wake. Wydad wanadai Msuva aliondoka klabuni hapo bila kutoa taarifa kwa mtu yeyote.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK