Kufuru! Harusi ya Mtoto wa Beckham Yagharimu Bil. 8, Watu Maarufu Wahudhuria

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



HARUSI ya Brooklyn Beckham; mtoto wa mwanasoka mstaafu wa Uingereza, David Beckham iliyofanyika wikiendi iliyopita imegharimu Dola za Kimarekani milioni 3.5 (zaidi ya shilingi bilioni 8.1 za Kitanzania.

Brooklyn alifunga ndoa na Nicola ambaye ni mtoto wa bilionea mkubwa wa Marekani, Nelson Peltz mwenye utajiri wa shilingi trilioni 3.7 kwa mujibu wa Jarida la Forbes.

Harusi hiyo ilihudhuriwa watu maarufu kama Serena Williams, Eva Longoria, Gordon Ramsay, Spice Girls Mel B, Mel C, Emma Bunton, Gigi Hadid, Nicole Richie, Elizabeth Hurley, Tom Brady na Gisele Bündchen.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad