Kutana na Kijana Anaeota Mkia Kiunoni Mwake..Ahusishwa na Imani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Deshant Adhikari(16) toka nchini Nepal amezaliwa na kuota mkia wa nywele na kuhusiahwa na nguvu za kimungu. Mkia huo umeota nyuma ya kiuno


Akihojiwa amesema awali alikuwa hajiamini na mwenye aibu na kusemwa vibaya na watu baada ya wazazi wake kuhangaika hospitali kadhaa apate matibabu mkia huo wa nywele usiote lakini ukaendelea kuota


Mungu ambao walishauri nywele za mkia huo zisochanwe wala kukatwa na kitu chochote kwani kijana huyo inawezekana pia kuna nguvu flani za kimungu amezaliwa nazo

Na baada ya watumishi hao wa Mungu kushauri hivyo hata dhihaka alizokuwa akipata toka kwa watu mbalimbali zimekoma na yeye kwasasa anajiamini na haufichi tena mkia wake

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad