Kwa Mara ya Kwanza, Mwanadada Rihanna Ameingia Kwenye Orodha ya Mabilionea Forbes

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kwa mara ya kwanza, Mwanadada Rihanna ameingia kwenye orodha ya mabilionea inayotolewa na Jarida la Forbes kila mwaka. Riri ametajwa kwenye nafasi ya 1,729 akiwa na utajiri wa ($1.7B) sawa na zaidi ya TSh. Trilioni 3.9

Anatajwa kuwa Bilionea wa kwanza toka visiwani Barbados, na mwanamke tajiri zaidi kwa upande wa wanamuziki wa Kike duniani.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad