Masau Bwire "Yanga na Simba Waliniitaji Nikawe Msemaji wao"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


“Siyo Simba tu walionifuata hata Yanga mara kadhaa, kipindi cha mwisho wakati Charles Mkwasa akiwa Katibu walikuwa na Uhitaji wa Afisa Habari, Mkwasa mwenyewe aliita akaniambia niende kuwasemea Wananchi nikamwambia, Teacher Nashukuru Ngoja tuone ni nini kitatokea.

“Ukafika wakati wakawa na Uhitaji mkubwa na wakanihitaji niende pale, kuna baadhi ya watu waliamini kwa ukaribu wangu na wao wanaweza kunishawishi nikaenda pale, walikuwa wanasubiri jibu langu ili wanitangaze, nikawajibu Nashukuru lakini Kwa sasa sijawa Tayari,” Afisa Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire ndani ya #SportsArena ya #WasafiFm

#WasafiSports
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad