Mbunge amtaka Zitto aiombe msamaha familia ya JPM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



 
Mbunge wa Mvumi, Livingstone Lusinde amemtaka kiongozi wa chama cvha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, kuwaomba radhi Watanzania pamoja na familia ya Hayati Dkt. John Magufuli, kwa kumsema vibaya na kuwataka wanaompenda wakazikwe pembeni ya kaburi lake.

Kauli hiyo ameitoa bungeni jijini Dodoma, hii leo Aprili 22, 2022, na kusema kwamba Hayati Magufuli anapaswa kuheshimiwa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad