AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Mvumi, Livingstone Lusinde amemtaka kiongozi wa chama cvha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, kuwaomba radhi Watanzania pamoja na familia ya Hayati Dkt. John Magufuli, kwa kumsema vibaya na kuwataka wanaompenda wakazikwe pembeni ya kaburi lake.
Kauli hiyo ameitoa bungeni jijini Dodoma, hii leo Aprili 22, 2022, na kusema kwamba Hayati Magufuli anapaswa kuheshimiwa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK