AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Viti Maalum, Bupe Mwakangata amesema wanaume Mkoa wa Rukwa viuno havifanyi kazi kutokana na matuta yaliopo katika barabara ya Tunduma hadi Rukwa kusababisha magari kuwarusha rusha.
Hivyo, ameiomba wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kupunguza matuta hayo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK