Meneja wa Ruby Afunguka Sababu ya Ruby Kusema Anataka Kufa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya Msanii iamrubyafrica Kuweka Ujumbekatika Instagram yake ambao ulishtusha wengi kuwa anajiskia kupoteza Maisha ili akapumzike na ya dunia huku akiwa amefunga sehemu ya kutolea maoni hivyo wengi wakawa na maswali mengi.

Sasa kupitia kipindi cha #LEOTENA cha CLOUDS FM meneja wa iamrubyafrica Andrey Wayayu Amefunguka juu ya kinachoendelea kwa Msanii wake

“Ni jambo la kifamilia ambalo ndiyo lilikuwa linaendelea na tulijaribu kumuweka chini ili aweze kuwa sawa na tunashukuru Mungu sasa hivi anaendelea poa sio kiki wala sio stress za mapenzi


Kwenye maisha ya mwanadamu mtu anaweza akawa anapitia changamoto ila sababu ni msanii basi kile unachokipitia unaonekana ni kiki”
-
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad