AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya Msanii iamrubyafrica Kuweka Ujumbekatika Instagram yake ambao ulishtusha wengi kuwa anajiskia kupoteza Maisha ili akapumzike na ya dunia huku akiwa amefunga sehemu ya kutolea maoni hivyo wengi wakawa na maswali mengi.
Sasa kupitia kipindi cha #LEOTENA cha CLOUDS FM meneja wa iamrubyafrica Andrey Wayayu Amefunguka juu ya kinachoendelea kwa Msanii wake
“Ni jambo la kifamilia ambalo ndiyo lilikuwa linaendelea na tulijaribu kumuweka chini ili aweze kuwa sawa na tunashukuru Mungu sasa hivi anaendelea poa sio kiki wala sio stress za mapenzi
Kwenye maisha ya mwanadamu mtu anaweza akawa anapitia changamoto ila sababu ni msanii basi kile unachokipitia unaonekana ni kiki”
-
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK