Mrema na MKEWE Waanza Honeymoon, Tazama Picha Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mwenyekiti wa chama cha TLP Agustino Mrema na Mkewe Doreen Wameanza rasmi safari ya kutalii katika mbuga za wanyama ikiwa ni sehemu ya kusherekea fungate lake (Honeymoon)


Mrema alitangaza kwamba atakua na ziara hiyo na kuwaomba watanzania kuungana naye katika tukio hilo akisema ni sehemu ya kusherekea ndoa yake mpya pamoja na kutangaza mbuga za wanyama na vivutio vilivyopo.


Mrema ameanza kuzuru mbuga ya Tarangire na leo atakua hifadhi ya Manyara na baadae ataelekea hifadhi ya taifa ya Ngorongoro

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad