Msemaji wa Yanga Haji Manara Afunga Ndoa ya Pili, Wachache Waalikwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msemaji wa klabu ya #YangaSC, Haji Sunday Manara amefunga ndoa mapema mara baada futari ya Leo April 14 2022, ndoa iliyohudhuriwa na aliowaalika tu ambapo miongoni mwa walioalikwa ni, @HamisaMobetto, @esha.s.buheti na mtangazaji @zamaradimketema.

Katika ndoa hiyo iliyofungwa na mwanamke ambaye kwa taarifa za awali inaelezea kuwa ni Aliyekuwa naye kwenye mahusiano kwa muda sasa pia viongozi kadhaa wa klabu hiyo na marafiki zake wachache wamealikwa.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad