AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Siku moja baada ya Msemaji wa Yanga Haji Manara kuongea na Waandishi wa Habari akiwa amevalia mavazi ya Kimasai, hoja imeibuka kuwa mavazi ya aina ile ni ya jinsi ya Kike katika tamaduni za Kimasai.
Baadhi ya Wamasai walioulizwa kuhusu ukweli wa jambo hilo wamedhibitisha kuwa mavazi yale kweli ni ya Kike na amewaabisha Wanaume wakimasai.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK