Msemaji wa Yanga Haji Manara Ashutumiwa Kuingia Choo Cha Kike Baada ya Kufanya Conference Akiwa Amevaa Mavazi ya Kike ya Kimasai

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Siku moja baada ya Msemaji wa Yanga Haji Manara kuongea na Waandishi wa Habari akiwa amevalia mavazi ya Kimasai, hoja imeibuka kuwa mavazi ya aina ile ni ya jinsi ya Kike katika tamaduni za Kimasai.

Baadhi ya Wamasai walioulizwa kuhusu ukweli wa jambo hilo wamedhibitisha kuwa mavazi yale kweli ni ya Kike na amewaabisha Wanaume wakimasai.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad