Mtangazaji wa Clouds FM Kenedy Atoa la Moyoni "Nimeacha Kwenda Kanisani Sababu ya Michango Kuwa Mingi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mtangazaji wa Clouds FM Kenedy Theremedy anasema yeye kaacha kwenda kanisani muda mrefu kidogo na hapa anaeleza kilichomshinda kuhudhuria kanisani.

“Mara ya mwisho kwenda kanisani ni mwaka jana mimi kilichonishinda kwenda kanisani ni michango kuwa mingi kuliko hata nilichokifata (Neno la Mungu) tena yakulazimishana hiyo ndiyo sababu mpaka leo sijaenda” Kenedy Theremedy
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad