Mteja Aliyeuziwa Simu ya Iphone Bila Chaja Kulipwa Fidia ya Mamilioni na Apple

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Jaji Vanderlei Caires Pinheiro wa nchini Brazili ameamuru kampuni ya Apple kumlipa mteja Dola $1,081 [Tsh 2,510,082.01] baada ya mteja wao kulalamika kuwa amenunua iPhone na hapakuwa na Charger 'Adapter' kwaajili ya Kuchaji simu hio kwenye Box.
-
Kwa mujibu wa Daily Mail, Jaji ameiagiza Apple kumlipa mteja kama hasara na fidia baada kuuziwa simu na kufanya kazi ya ziada ya kutafuta charger ya simu hio. Apple wamepewa siku 10 za kutii amri ya mahakama au adhabu itaongezeka na kuwa zaidi ya dola 2000 USD.
-
Apple inakisiwa kuuza iPhone milioni 190 duniani kote tangu hatua hiyo ya kutoweka Adapter kuanza, ni hatua kubwa iliyoshangiliwa na wanamazingira ila jaji Caires amesema "Sio sahihi kwamba hatua kama hiyo inalenga kupunguza madhara kwa mazingira wakati ushahidi unaonyesha kuwa Apple wanaendelea kutengeneza kifaa hicho na kukiuza kivyake.
#SamMisagoTV
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad