Muonekano MPYA wa Ramani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Viongozi Wakuu wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wamezindua ramani mpya ya Jumuiya hiyo ambayo inamjumuisha mwanachama mpya wa Jumuiya hiyo (DRC).

Uzinduzi huo umefanyika baada ya Rais wa DRC Mhe. Felix Tshesikedi kusaini makubaliano ya kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki.

DRC ilijiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki Machi 29, 2022 na kuwa mojawapo ya nchi Saba zinazounda Jumuiya hiyo.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad