google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Mwanaume Apambana na SIMBA Dume vikali na Kufanikiwa Kumuua | UDAKU SPECIAL

Mwanaume Apambana na SIMBA Dume vikali na Kufanikiwa Kumuua

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanaume mmoja katika Wilaya ya Kagadi, Magharibi mwa Uganda ameingia kwenye rekodi ya aina yake baada ya kupambana vikali na simba dume na kufanikiwa kumuua huku naye akijeruhiwa vibaya.

Baada ya kumuua simba huyo, maafisa wa mamlaka ya wanyama pori walifika eneo la tukio kuthibitisha tukio hilo huku majeruhi akikimbizwa hospitali.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad