Nahreel Ajibu Navykenzo Kupotezwa Baada ya Kufanya Collabo na Diamond Platnumz

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kundi la muziki Bongo, Navy Kenzo limeonyesha kupuuzia madai kuwa wamepotea tangu kuachia kolabo yao na Diamond Platnumz, wimbo "Katika".

Memba wa kundi hilo, msanii @nahreel amepangua shuti hilo kutoka kwa shabiki mmoja ambaye aliacha komenti kwenye ukurasa wa instagram wa Nahreel, kwa kuandika; "Diamond mbaya sana toka mfanye naye wimbo dah, hamsikiki naumia sana", Nahreel alimjibu shabiki huyo kwa kumuandikia; "Kaa mkao wa kula".

"Katika" ni kolabo iliyowakutanisha Navy Kenzo na Diamond Platnumz, ilitoka mwaka 2018.

Fahamu, Navy Kenzo kwasasa wanajiandaa kuachia album yao ya NNE baada ya kuachia Hold Me Back (2015), AIM - Above Inna Minute (2017) na Story Of The African Mob (2020).
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad