AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
HAITI: Ndege ndogo imeanguka katika mtaa wenye shughuli za kibiashara za watu wengi katika Jiji la Port-au-Prince, Nchini Haiti jana Aprili 20, 2022 na kuua watu 6 akiwemo Rubani wa Ndege hiyo
-
Ndege hiyo ilikuwa ikiruka kutoka Uwanja wa Ndege wa Port-au-Prince saa 9:44 Alasiri kuelekea Jiji lingine la Jacmel lililopo Haiti. Mamlaka za Usafiri wa Anga zimesema injini ilifeli na kusababisha ndege hiyo ianguke
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK