Neymar Afunguka Anavyofurahia Penzi la Mpenzi Wake Mpya Bruna Biancardi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



SUPASTAA wa soka, Mbrazili, Neymar Jr, amefunguka jinsi anavyompenda mpenzi wake mpya, Bruna Biancardi, walipokuwa wakisherehekea bethdei ya mrembo huyo kutimiza miaka 28 juzi.

 

Neymar, 30, aliandika: “Bruh, mzuri. Nakutakia mema yote katika dunia hii, nakuombea utimize malengo yako yote. Siku ni yako lakini zawadi ni yetu. Kwa hiyo nina furaha kuwa nawe maishani mwangu. Nakupenda.”

 

Awali, Bruna alimshukuru Neymar kwa kuipa umaalum bethdei yake. “Nakupenda,” aliandika Bruna.
GPL
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad