AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
SUPASTAA wa soka, Mbrazili, Neymar Jr, amefunguka jinsi anavyompenda mpenzi wake mpya, Bruna Biancardi, walipokuwa wakisherehekea bethdei ya mrembo huyo kutimiza miaka 28 juzi.
Neymar, 30, aliandika: “Bruh, mzuri. Nakutakia mema yote katika dunia hii, nakuombea utimize malengo yako yote. Siku ni yako lakini zawadi ni yetu. Kwa hiyo nina furaha kuwa nawe maishani mwangu. Nakupenda.”
Awali, Bruna alimshukuru Neymar kwa kuipa umaalum bethdei yake. “Nakupenda,” aliandika Bruna.
GPL
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK