AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamitindo @miriamodemba ametoa kali ya mwaka baada ya kuiomba jeshi la polisi kutoa amri ya kwamba @kajalafrida arudi kwa mpenzi wake wa zamani @harmonize_tz .
Katika waraka ambao ameutoa mtandaoni pia amewaomba Watanzania kuacha kukaa kimya kwenye sakata hilo huku akiwataka kuchangia pesa za mabango.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK