Polisi Nchini Uingereza Wanamchunguza Christiano Ronaldo Baada ya Kuvunja Simu ya Shabiki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Polisi nchini Uingereza wanachunguza madai ya shambulio baada ya mshambuliaji wa Manchester United Cristiano Ronaldo kuonekana akivunja simu ya shabiki mmoja.

Picha zilisambazwa kwenye mitandao ya kijamii pamoja na maoni yaliyodai kuwa alivunja simu hiyo alipokuwa akitoka nje ya uwanja baada ya timu yake kupoteza mechi dhidi ya Everton 1-0. Ronaldo baadaye aliomba msamaha baada ya video inayomuonyesha akivunja simu ya shabiki huyo kuibuka.
-
"Si rahisi kukabiliana na mihemko katika nyakati ngumu kama ile inayotukabili. Ningependa kuomba radhi kwa hasira yangu na, ikiwezekana, ningependa kumwalika shabiki huyu kutazama mchezo huko Old Trafford kama ishara ya mchezo wa haki na uanamichezo.” alisema Ronaldo.

Chanzo: bbcswahili
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad