AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Picha zilisambazwa kwenye mitandao ya kijamii pamoja na maoni yaliyodai kuwa alivunja simu hiyo alipokuwa akitoka nje ya uwanja baada ya timu yake kupoteza mechi dhidi ya Everton 1-0. Ronaldo baadaye aliomba msamaha baada ya video inayomuonyesha akivunja simu ya shabiki huyo kuibuka.
-
"Si rahisi kukabiliana na mihemko katika nyakati ngumu kama ile inayotukabili. Ningependa kuomba radhi kwa hasira yangu na, ikiwezekana, ningependa kumwalika shabiki huyu kutazama mchezo huko Old Trafford kama ishara ya mchezo wa haki na uanamichezo.” alisema Ronaldo.
Chanzo: bbcswahili
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK