AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamanda wa Polisi Kanda maalumu ya Dar Es Salaam amemshauri aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Paul Makonda kuwasilisha kituo cha Polisi tuhuma alizozitoa kwenye ukurasa wake wa Instagram.
Hatua hiyo imekuja kufuatia Mkuu huyo wa mkoa mstaafu kuandika malalamiko kwenye mtandao wake wa kijamii, jambo lililoibua mjadala mitandaoni.
Makonda alidai kuwa kuna watu wanataka kuangamiza maisha yake.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK