Polisi Wafunguka Kwa Mara ya Kwanza Kuhusu Paul Makonda Kutaka Kuuawa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Kamanda wa Polisi Kanda maalumu ya Dar Es Salaam amemshauri aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Paul Makonda kuwasilisha kituo cha Polisi tuhuma alizozitoa kwenye ukurasa wake wa Instagram.

Hatua hiyo imekuja kufuatia Mkuu huyo wa mkoa mstaafu kuandika malalamiko kwenye mtandao wake wa kijamii, jambo lililoibua mjadala mitandaoni.

Makonda alidai kuwa kuna watu wanataka kuangamiza maisha yake.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad