AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapa Bob Shmurda amkataa Jay-Z hadharani na kumchagua marehemu Pop Smoke, ni baada ya kuulizwa swali na Mtangazaji DJ Akademiks kwamba angependa nani kati ya hao wawili atie verse kwenye ngoma yake? Bila kusita Bob Shmurda alimchagua Pop Smoke na kuacha mjadala mkubwa miongoni mwa mashabiki.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK