Ripoti ya CAG Yabaini Ubadhilifu Mkubwa wa Fedha Mamlaka ya Bandari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere akitoa ripoti mbele ya Waandishi wa Habari
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ametoa ripoti yake ya ukaguzi wa hesabu za serikali mbele ya waandishi wa habari ambapo amebaini mapungufu katika sekta mbalimbali.

Moja ya sekta ambayo imekumbwa na mapungufu ni Mamlaka ya Bandari ambapo CAG amesema kumekuwa na ubadhilifu katika Mamlaka ya Bandari kwani kuanzia Januari Mosi 2015 hadi Machi 30, 2020.


                                                                
Ukaguzi wake unaonesha Mamlaka ya Bandari ilitumia Hundi 7888 zenye thamani ya Bilioni 31.76 kwa ajili ya matumizi ya Mamlaka ya Bandari ambapo pesa hizo zilitolewa kwenye akaunti ya jijini Mwanza, huku Hundi 4777 zenye thamani ya shilingi bilioni 19.41 pekee ndizo zilizowasilishwa kwa ajili ya ukaguzi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad