Ruby Atamani Kufa "Najisikia tu Nife, Nikapumzike na ya Dunia"


Mwanamuziki Ruby Kupitia account Yake ya Instagram ameandika haya 

"Najisikia tu Nife, Nikapumzike na ya Dunia" 

Flaviana Matata Baada ya Kuona hivyo ameandika haya:

“Yeyote aliyeko karibu na Ruby ( @iamrubyafrica ) ahakikishe anapata usaidizi kabla ya kuchelewa TAFADHALI🙏🏾” ——— 📌 @FlavianaMatata

Je, Unadhani ni Nini kimempata Mwanamuziki Ruby
______

Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA



 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad