Serikali: Magari Chini ya Mwaka 2010 Yasiingizwe Nchini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema magari yaliyotengenezwa chini ya mwaka 2010 yasiingizwe nchini

Amesema “Tanzania haitakiwi kuwa dampo kwa kuleta magari yaliyopitwa na wakati. Bunge letu limeshapitisha Sheria magari yote yanayoingizwa nchini yawe yametengenezwa baada ya mwaka 2010 kuja huku mbele. Huo ni wajibu wa TBS, lazima wajiridhishe na kuelimisha wanaoagiza magari”
Aidha, Waziri Mkuu ameitaka Kampuni ya Kimataifa ya Kuhudumia Makontena Tanzania (TICTS) kuimarisha utendaji kazi wake ikiwemo kuacha kuchelewesha ushushaji wa mizigo katika Bandari ya Dar es Salaam

Jamii Forums

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad