Simba na Yanga sio Timu za Kugombania Ligi Kuu Pekee

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mfadhili wa zamani wa Simba Mzee Azim Dewji amesema kuwa Simba na Yanga sio timu za kugombania Ligi Kuu Bara pekee bali Ligi hiyo iwe ni kikanyagio tu cha kwenda kucheza mashindano ya wakubwa mfano CAF ambapo amewakaribisha timu hiyo pinzani kuja kushuhudia mechi ya wakubwa dhidi ya Orlando Pirates huku akisisitiza kuwa watafurahi ingawa moyoni wanaweza wakaumia ila wataona mpira utakaotandawaza siku hiyo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad