Taarifa Rasmi Kutoka Orlando Pirates Kuhusu Mchezaji Wao Aliyepata Ajali Uwanjani na Kuzimia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Taarifa rasmi kutoka tovuti ya klabu ya Orlando Pirates, inasema kuwa hali ya beki wao Paseka Mako inaendelea vyema baada ya kuanguka uwanjani kufuatia kugongana na Kipa wake Ofori

Pirates wanasema baada ya uchunguzi wa awali Madaktari wamethibitisha hakuna madhara makubwa kwenye ubongo na leo wataendelea na vipimo vingine
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad