AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
CAMEROON: MABASI 89 YALIYOTUMIKA AFCON 2021 HAYAJULIKANI YALIPO - Miezi miwili baada ya kumalizika kwa Michuano ya Kombe la Afrika (AFCON), mabasi 89 kati ya 90 yaliyonunuliwa na Serikali kwa ajili ya kusafirisha timu hayajulikani yalipo huku basi 1 lililotumiwa na Timu ya Taifa ya Cameroon ndio linajulikana lilipo - Kumeibuka tetesi kuwa Wafanyakazi waliohusika katika usimamizi wa michuano hiyo hawajakamilishiwa malipo yao. Mamlaka husika hazijatoa tamko rasmi kuhusu tetesi hizo #JamiiForums #AFCON2021
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK