Timu ya Man United Yaendelea Kutaabika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kuelekea mchezo wa 35 kwa Man United kunako EPL msimu huu, orodha ya majeruhi inaongezeka kwenye kikosi cha timu hiyo.

United watakua uwanjani Alhamisi hii kuchuana na Chelsea ndani ya Old Trafford. Kwa hali ilivyo, The Red Devils inawakosa takribani wachezaji 6 wa kikosi cha kwanza. Kocha Ralf athibitisha.

Pogba, Maguire, Sancho, Shaw, Fred na Cavani wote watakosekana kwenye mchezo huu wakati ambao, Wan Bissaka huenda akakosekana na hivyo orodha kuongezeka zaidi. Hili ni pigo kwa Rangnick ambaye anatoka kwenye vipigo vitatu kwenye michezo 4 iliyopita, anakwenda kuchuana na The Blues.

Kutokana na idadi ya majeruhi kwasasa kwenye kikosi cha Man United, Ralf Rangnick amethibitisha kuwepo na wachezaji 14 tu (pamoja na chipukizi) kwenye mchezo wa kesho dhidi ya Chelsea hali ambayo inampa mashaka kuelekea mwishoni mwa msimu.

✍️: @omaryramsey

#SNSSports⚽⚽
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad