AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Huyu dada tokea apate mimba amekua anazurura sana.
Kila siku anapigwa picha na paparazzi yupo sehemu tofauti tofauti.
Hivi huwa anaendaga wapi? Au mimba yake aliipatia akiwa kwenye ziara
Kwa kweli nimechoka kila siku kumuona yeye tu na ajifungue apumzike na sisi pia tupumzike.
Kila siku kitumbo jujuu kama yeye ndo wa kwanza kupata mimba hapa duniani.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK