Wakala Maarufu wa Michezo Mino Raiola ‘aibuka’ Hospitali, ashangazwa na taarifa za kifo chake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Wakala Mino Raiola aibuka akiwa kitandani Hospitali na kukanusha taarifa za kifo chake ambazo zimeonekana kuenea kwenye vyombo mbali mbali vya habari.



”Hali ya afya ya sasa kwa wale wanaoshangaa: Nikichukizwa mara ya pili katika miezi 4 wananiua. Inaonekana pia kuwa na uwezo wa kufufua,”- Mino Raiola

Raiola ameonekana kukanusha taarifa hizo kwa ujumbe wake wenye kujaa hasira, kupitia akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa twitter.


Mapema taarifa kupitia mitandao mikubwa ya michezo barani Ulaya iliandika taarifa za kifo cha wakala huyo mashuhuri Ulimwenguni.




Ujumbe wa Real Madrid ukionesha kuuzunishwa na taarifa za kifo za Raiola kabla ya mwenyewe kujitokeza hadharani na kukanusha.

Imeandikwa na @fumo255

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad