Watu Sita Wamefariki na Wengine 19 Wamejeruhiwa Ajali ya Gari Tanga


Watu sita wamefariki na wengine 19 wamejeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka wilayani Korogwe, Tanga.

Chanzo cha ajali hiyo kimeelezwa kuwa ni mwendokasi wa gari aina ya Coaster, ambalo lilimshinda dereva ndipo likaacha njia na kupinduka.
______

Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA



 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad