Watu Sita Wamefariki na Wengine 19 Wamejeruhiwa Ajali ya Gari Tanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Watu sita wamefariki na wengine 19 wamejeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka wilayani Korogwe, Tanga.

Chanzo cha ajali hiyo kimeelezwa kuwa ni mwendokasi wa gari aina ya Coaster, ambalo lilimshinda dereva ndipo likaacha njia na kupinduka.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad