Well Done Inonga...Simba Wanahitaji Roho na Damu Kama Hizi Tano Kwenye Timu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Unahitaji roho na damu kama hizi tano kwenye timu, unahitaji chui kama hawa watano kwenye timu yako

Mmoja anatuliza mstari wa ulinzi, wawili wanatuliza mstari wa kati, mmoja mwishoni anamwambia Sakho asipake sana rangi upepo

Kisha mmoja kwenye bench anaingia kama game changer

Yes wanae mmoja tayari wamalizie na wanne kwenye dirisha la usajili, unahitaji wakatili wengi kama INONGA

Shaffih Dauda
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad