Young Dee Ampa Heshima yake Mr Blue "Bila Yeye Ningechelewa Sana"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Real recognize Real hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya rappa @youngdaresalama kuonyesha heshima yake kwa Mr Blue kwa kutambua mchango wa mkali huyo katika safari yake ya kimuziki.

Dee ameweka wazi kwamba kama @mrbluebyser1988 asingekuwepo basi watu wangechelewa kumjua. "Angechelewa Young Dee kama Asingekuwepo Mr Blue" - ameandika Young Dee akiambatanisha na picha ya Mr Blue kupitia insta story yake.

Blue ambaye ana mchango mkubwa kwa wasanii wengi nchini, ana historia ya kuvutia na Young Dee ya tangu kipindi hicho, Dee akiwa bado rappa mdogo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad