AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Real recognize Real hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya rappa @youngdaresalama kuonyesha heshima yake kwa Mr Blue kwa kutambua mchango wa mkali huyo katika safari yake ya kimuziki.
Dee ameweka wazi kwamba kama @mrbluebyser1988 asingekuwepo basi watu wangechelewa kumjua. "Angechelewa Young Dee kama Asingekuwepo Mr Blue" - ameandika Young Dee akiambatanisha na picha ya Mr Blue kupitia insta story yake.
Blue ambaye ana mchango mkubwa kwa wasanii wengi nchini, ana historia ya kuvutia na Young Dee ya tangu kipindi hicho, Dee akiwa bado rappa mdogo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK