Zari Amvaa Nadia Nakai "Kwanini Unapambana Sana Kumpata"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mwanadada nyota kutokea Uganda @zarithebosslady amemchokoza Rapa kutoka South Afrika Nadia Nakai baada ya ugomvi baina yao ulioanzia katika Reality show ya “YOUNG,FAMOUS AND AFRICAN” huku chanzo kikiwa ni msanii @diamondplatnumz.

Kupitia ukurasa wake wa Snaptchat Zari ameandika
“Swali kwa Nadia; Kwanini Unapambana? Alikupotezea Eeh!?
Mimi sikuwa tatizo bali yeye” - @zarithebosslady

Katika Reality show hiyo ulizuka ugomvi mkubwa baina ya Zari na Nadia Nakai huku chanzo cha kwanza kikiwa ni msanii Diamond Platnumz.

Na @blessed_tillah

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad