Zitto: Wanaompenda Magufuli Wakazikwe Naye CHATO

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo amesema wale wanaompenda sana Magufuli waende Chato wakachimbe kaburi pembeni ya kaburi la Magufuli kisha wajizike

Zitto amesema zamani watu ambao ni walikuwa ni viherehere wanaojidai wanawapenda sana wafalme au watemi walikuwa wakizikwa pamoja na wafalme hao walipokuwa wanazikwa

Zitto alieleza pia Magufuli bila kufuata Taratibu alitoa tenda nyingi kwa kampuni yake ya Mayanga Construction ya kujenga kiwanja cha kimataifa cha ndege Chato wilaya aliyotoka Magufuli, na kusema hakuna Rais katika historia ya Tanzania amewahi kufanya hivyo

 Tazama VIDEO Akiongea:


Source: Jamii Forums
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad