Ticker

6/recent/ticker-posts

ZUCHU "Nimekumiss Diamond Platnumz Rudi Bongo"

Nafasi za Ajira Serikalini Zilizotangazwa Wiki Hii Bonyeza HAPA

Nafasi za Internship Zilizotangazwa Bonyeza HAPA

Matokeo ya Form Four 2022 Bonyeza HAPA


ZUCHU ni malkia mpya wa muziki nchini Tanzania ambaye kumekuwa na tetesi za miezi kadhaa sasa kwamba anatoka kimapenzi na bosi wake, Diamond Platnumz.


Sasa, taarifa ikufikie kwamba, mrembo huyo ameshindwa kuficha hisia zake kwa Diamond au Mondi wakati huu ambapo jamaa huyo yupo nchini Uingereza na barani Ulaya kwa ajili ya kutangaza albam yake fupi (EP) ya FOA.


Zuchu amefanya mazungumzo ya moja kwa moja (kwenda live) kupitia Mtandao wa Snapchat na Diamond akiwa kitandani nchini Uingereza, naye akiwa kitandani Bongo na kumueleza namna ambavyo amemmisi huku akiomba arudi nchini huku akitaka kutokwa machozi.


Diamond na Zuchu wamekuwa wakitrendi kwa miezi mitatu sasa ambapo wakiwa pamoja nchini huwa hawapoi kwani habari zaao huwa ni nyingi mno.

Post a Comment

0 Comments