Akimbia kilomita 4399 na Mguu Mmoja, We Unashindwa Nini Mtu Wangu?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Jacky Hunt-Broersma kutokea Arizona, Marekani ambaye mwaka 2002 alikatwa mguu mmoja kwa sababu ya ugonjwa wa kansa, amevunja rekodi ya Dunia ya kukimbia marathon 104, kwa siku 104 amekimbia kilomita 4,399 ambapo kwa siku alikuwa anakimbia kilomita 42.1

Jacky alikuwa na ndoto ya kuvunja rekodi ya Guinness.

Katikati ya mwezi Januari, Jacky alitangaza atakimbia maili 2620 kila siku kwa siku 100 ili kuvunja rekodi ya Guinness.

Jacky kwa sasa anasubiria rekodi ya itambuliwe rasmi na kitabu cha Guinness.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad